BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Saturday, December 5, 2009

FID Q KUONGOZA SHOW YA MTIKISIKO WA MASTAA IRINGA

Ngosha a.k.a Fareed Kubanda akiongozana na jeshi la zaidi ya watu nane wanatarajiwa kufanya show ya nguvu ndani ya mji wa Iringa kweny kile kinachoitwa Mtikisiko na mastaa.


Onyesho hilo linatarajiwa kufanyika jumapili ya wiki hii ndani ya uwanja wa samora ambapo wataongozwa na Fid ni pamoja na Chegge, Matonya, Madee, Tundaman, Baby Madaha, Squeezer, Linex, Nay wa Mitego, Dully Sykes, Fell na wengine kibao.

“Mbali na kina Fid Q kufanya bonge la shoo siku hiyo, mabondia Rashid Matumla ‘Snake Boy’ na Chupaki wa Iringa,” watazichapa kuwania ubingwa usiyo rasmi,” alisema mratibu wa ishu hiyo, Eddo.





No comments:

Post a Comment