BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, December 22, 2009

ZAHIR ZORRO AINGIA TENA STUDIO NA WANA BONGOFLAVA!!!

Baada ya kutoka na FID Q kwenye Ripoti za Mtaani.na kufunika saana Mzee Zahir Zorro, baba yake Banana anarudi tena na Mr. Blue & Baby Boy. Mkongwe wa muziki wa dansi nchini Zahir Ally Zorro, katika kuonyesha ukomavu ameingia studio na nyota wa bongo fleva hao wanaotesa na sauti murua na kutengeneza kibao kikali kitakachokuwa kwenye miondoko ya Hip Hop.


Twende sasa!! Full kubanana na wanabongo flava

No comments:

Post a Comment