BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, May 4, 2010

FAIDIKA NA WANAUME HALISI!!!!!!!!!

Kwa wale wapenzi wa kundi la TMK Wanaume Halisi, mnaambiwa kuanzia sasa kila mpenzi anaweza kujiunga na kundi hilo na kuwa mwanachama wa kudumu.

Unachotakiwa kufanya ni kutuma sms yenye neno KIUMENI kwenda namba 15551.

Je kuna faida gani ya kuwa mwanachama wa tmk wanaume halisi?

1. Utakuwa mtu wa kwanza kujua kitu gani kinaendelea kwenye kundi kabla ya kujuzwa na vyombo vya habari.

2. Utapata punguzo la asilimia 20 kwenye kila bidhaa itakayouzwa na tmk wanaume halisi kuanzia tshirt,tape,cd au kiingilio cha kwenye show zao.

3. Pia kama mwanachama utakuwa na fursa kubwa ya kutoa mchango wa mawazo au maoni kwa ajili ya kuboresha na kuendeleza kundi.


No comments:

Post a Comment