BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, May 31, 2010

MATANGAZO YA MISS PANGANI YAWA KIVUTIO!!!

Matangazo ya Miss Pangani 2010 yamekuwa kivutio kila kona ya mji huu wa kihistoria. Hii nilikutana nayo katika eneo la Ferry, karibu na ofisi za Halmashauri. Miss Pangani inatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa ya tarehe 4 kwenye ukumbi wa Safari Lodge Annex. Sikiliza tangazo lake hapo juu palipoandikwa SIKILIZA TANGA FLAVA HAPA!

Hapa ni eneo la stendi ya magari yanayotokea Tanga. Kila kona ya jiji mazungumzo ni Miss Pangani...hii sio ya kukosa mdau!!

Tangazo hili nilikutana nalo kwenye ofisi za Pangani Coast Cultural Tourism Programme.

Hili nililikuta mtaani....Miss Pangani 2010 inaletwa kwenu kwa udhamini mkuwa wa Mwekasu Hostel, African Design, Sofia Production, Aljazira, Salome Hair Dressing Sallon, Amazon Hair Dressing Saloon, Pangani Coast Cultural Tourism Programme, Safari Lodge Annex, River View Inn, Breeze Fm Radio, pamoja na Voda Com Tanzania.

No comments:

Post a Comment