BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, May 12, 2010

WAFAHAMU CELEBRITIES WA TANGA CITY!!!

Glory Chuwa, Miss Tanga 2010. Ambaye anamaliza muda wake mwaka huu.

Aliyevaa fulana ya njano ni Dj Bad Fuvu wa Mwambao Fm Radio, anayefuata ni Matonya msanii kutoka Tanga. Anayefuata ni Dula Maujanja, mtangazaji wa kipindi cha Tz Most Wanted kinachorushwa na Mwambao Fm, wa mwisho ni mkurugenzi wa 5 Brothers Entertainment inayoandaa Miss Tanga, Nassoro Makau.

Msanii Fady Dady kutokea Tanga, akiwa na Dj Bob Nass wa Breeze Fm Radio.

Mwandishi wa habari za michezo gazeti la Bingwa na pia mtangazaji wa Mwambao Fm Oscer Assenga aliyevaa miwani, akiwa na swahiba wangu- Ally Mohammed a.k.a Bra A wa Mwambao Fm pia.

Rass Bizzle...mkali wa Mic!

No comments:

Post a Comment