BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, May 31, 2010

ZIARA YA MAMA SALMA KIKWETE WILAYANI PANGANI MKOANI TANGA!

Akiwasili kwenye hoteli ya Sea Side iliyopo maeneo ya funguni wilayani Pangani.

Mama Zippora Pangani ambaye ni mkuu wa wilaya ya Pangani akimtambulisha Mama Salma Kikwete kwa wenyeji wake.

Mkuu wa mkoa wa Tanga meja jenerali mstaafu Saidi Saidi Kalembo aliyevaa suti, akiwa na mgeni wake punde tu alipowasili hotelini hapo kwa ajili kuzungumza na wananchi wa Pangani pamoja na umoja wa kinamama wilayani hapa UWT!

Akikabidhi hundi ya shilingi milioni mbili kwa umoja wa kinamama wilayani Pangani.

Akitazama kazi mbalimbali zinazofanywa na akina mama wa Pangani.

Sanaa haikuwa nyuma.

Akiteremka kwenye kivuko kutokea kijiji cha Mwera alipokwenda kutoa msaada kwenye vituo cha afya

Kisha akawaaga wananchi wa Pangani. Karibu tena mama! Ujio wako ulikuwa mzuri na kweli wananchi walinufaika kwa msaada wako.

No comments:

Post a Comment