BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, May 4, 2010

NGOMA MPYA KUTOKEA TANGA!!!

Anaitwa Untouchable, msanii kutokea Tanga City! Sikiliza wimbo wake mpya ambao unafanya vizuri hivi sasa kunako redio tofauti tofauti nchini Tanzania, unaitwa 'Binadamu' amemshirikisha Kassim.

Kochas kutoka Omega Boys ya jijini Tanga, sikiliza ngoma ya Omega hapo juu palipoandikwa SIKILIZA TANGA FLAVA HAPA! Ngoma mpya inaitwa 'Kama Nyota" ambayo wamemshirikisha Dully Sykes!

No comments:

Post a Comment