BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, May 19, 2010

ZULEA MRISHO NDIO MISS USAGARA 2010!

Mchakato wa kutafuta warembo wa miss vitongoji ambao wataingia moja kwa moja kunako mashindano ya Miss Tanga 2010 unazidi kupamba moto jijini Tanga, ambapo hivi juzi mwanadada Zuleo Mrisho alifanikiwa kuibuka mnyange wa kitongoji cha Miss Usagara.

Shindano hilo lililoandaliwa na kampuni ya Two Sisters na kufanyika kwenye ukimbi wa Splendid- lilikuwa na ushindani mkubwa kiasi cha majaji kumchagua Amina Twaha kuwa mshindi wa pili na Sabrina Rajab kuwa mshindi wa tatu.

Washindi wote hao wamepata nafasi ya kuingia kwenye kambi ya Miss Tanga ambayo kilele chake ni mapema mwezi ujao pale Tanga Beach Resort maeneo ya Sahare.

No comments:

Post a Comment