
Na bendera ya Tanzania piga ua inawakilishwa na Dj maarufu "Mfundo pita"ambaye mwaka jana tualitajwa na redio mabali mbali nchini ujerumani kuwa ni DJ "Mkali wa midundo" ya World beat.Mji wa Aschaffenburg,nchini Ujerumani mwaka huu 2011 ndio mji wa mwanzo kufungua dimba la sherehe za msimu wa joto nchini humo,sherehe hizo zinatarajiwa kuudhuriwa na maelfu ya
wa watu kutoka kila kona ya ujerumani, Mnakaribishwa wote..
kwa maelezo zaidi wasiliana simu +49(0)1733779720, +49(0)1733779720 au ndani ya ujerumani pia
01733779720
No comments:
Post a Comment