BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 18, 2011

MATONYA YUPO SHULE!

Watu walikuwa wakijiuliza Matonya yuko wapi mbona kimya, hatimaye imefahamika kuwa alikuwa kwenye tour huko Mombasa Kenya. Ila wakati yupi Nairobi alikuwa studio akitengeneza wimbo na msanii wa huko huko Nairobi anajulikana kwa jina la Nonini, mbali na Nairobi pia ameshatengeneza biti kwa producer Dunga na akirudi anaishughulikia na wimbo huo ameupa jina la "UTAKWENDA KULA ULIPOPELEKA MBOGA".

Pia Matonya ambaye anatokea Tanga amesema kwa sasa anapiga kitabu kule Kenya ila amesema ni mapema sana kusema anachokisomea mpaka akipata cheti ndio atasema alikuwa anasomea nini. Kwahiyo amewaomba mashabiki wake kwa sasa wawe wapole tu mnyamwezi wenu atakuwa kitaani muda si mrefu.

No comments:

Post a Comment