BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 18, 2011

HONGERA JANUARY MAKAMBA!

Anko Mo Blogspot inakupa hongera mbunge wa jimbo la Bumbuli mkoani Tanga Mh. January Makamba kwa kuchaguliwa kuwa mjumbe wa NEC na katibu wa Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. Hii inaonyesha ni kiasi gani mkoa wa Tanga ulivyo na viongozi shupavu kama ambavyo mheshimiwa rais Jakaya Kikwete alivyomteua mbunge wa Tanga mjini Mh. Omary Nundu kuwa waziri wa uchukuzi. Tanga Ooyee!!

No comments:

Post a Comment