BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 18, 2011

MBUNGE TANGA AAHIDI KUENDELEZA MICHEZO!

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tanga kupitia chama cha wananchi (CUF) Amina Mohamed Mwidau (kushoto) ameahidi kuendeleza michezo katika mkoa huo na kuwataka vijana kuvunja makundi ya kushinda vijiweni na badala yake kuelekeza nguvu zao katika shughuli za kimaendeleo na michezo.

No comments:

Post a Comment