BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, April 13, 2011

SUMA LEE, C PWAA BIFU LAANZA UPYA!



Wasanii waliokuwa wanaunda kundi la Parklane kutoka Tanga City, namzngumzia Suma Lee pamoja na Cp a.k.a C Pwaa wameingia kwenye bifu tena kimtindo....Habari zaidi kutoka kwenye Blog ya Dj Fetty zimesema kuwa.....Siku za karibuni tulimskia cp wakati wa uzinduzi wa album yake akitangaza kuwa yeye na Suma lee wamerudi pamoja na kurudisha kundi kama Parklane lakini baada ya kupiga show ya uzinduzi na Cp kwenye uzinduzi wake, hivi karibuni Sumalee ametoa mpya baada ya kudai kuwa Cp hajamlipa pesa zake zote badala yake alimpatia nusu na kudai kuwa show haijafanya poa yaani haikumlipa

, "kwanza alidanganya kuwa parcklane itarudi lakini sio kweli, parklane irudi kwenye uzinduzi wake tu?, mwambieni kuwa hizo pesa alizonidhulumu kama ye anaona ni kidogo mi zinanitosha kwa kilo mbili za gomba" amesema Sumalee

No comments:

Post a Comment