Albam hiyo yenye nyimbo kumi na mbili inaitwa KAMWAMBIE, wasanii walio pata shavu la kuwemo katika albam hiyo ni pamoja na Ngwair, Hemedy, Mabovu, Blue, Fatma na wasanii chipukizi. Mzigo umekamilika katika studio tofauti ikiwemo Sharobaro Rec, 41 Rec, Fish Crub Rec, pamoja na Sei Rec. Jukumo lote la kusambaza albam hiyo imeachiwa kampuni ya FM WASAMAZAJI
Friday, January 22, 2010
ALBUM YA DIAMOND SOKONI SIKU YA VALENTINE (14/02/2010)
Albam hiyo yenye nyimbo kumi na mbili inaitwa KAMWAMBIE, wasanii walio pata shavu la kuwemo katika albam hiyo ni pamoja na Ngwair, Hemedy, Mabovu, Blue, Fatma na wasanii chipukizi. Mzigo umekamilika katika studio tofauti ikiwemo Sharobaro Rec, 41 Rec, Fish Crub Rec, pamoja na Sei Rec. Jukumo lote la kusambaza albam hiyo imeachiwa kampuni ya FM WASAMAZAJI
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment