BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, January 22, 2010

ALBUM YA DIAMOND SOKONI SIKU YA VALENTINE (14/02/2010)

Msanii wa Bongo Flava anayetamba na kibao chake acha "Nenda Kamwambie" kinachofanya vizuri kwenye Radio na Tv muite Diamond, anatarajia kuachia albamu siku ya Valentine yaani tarehe 14/02/2010.

Albam hiyo yenye nyimbo kumi na mbili inaitwa KAMWAMBIE, wasanii walio pata shavu la kuwemo katika albam hiyo ni pamoja na Ngwair, Hemedy, Mabovu, Blue, Fatma na wasanii chipukizi. Mzigo umekamilika katika studio tofauti ikiwemo Sharobaro Rec, 41 Rec, Fish Crub Rec, pamoja na Sei Rec. Jukumo lote la kusambaza albam hiyo imeachiwa kampuni ya FM WASAMAZAJI

No comments:

Post a Comment