BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, January 20, 2010

WAJUE MACELEBRITZ WA TANGA CITY!!

Aliyevaa Red Shirt anaitwa Ally Mohammed a.k.a Bra A, mtangazaji wa Mwambao Fm. Anayefuatia anaitwa Ras Bizo a.k.a Babaizoo, mtangazaji wa Mwambao Fm pia. Aliyevaa T shrt nyeupe anaitwa Edmund Aloyce a.k.a Dj Bad Fuvu (Kichwa Kibovu) dj wa Mwambao fm radio. Pamoja na wana wengine.

Wapo wengi usiowafahamu! Wanafanya nini na ishu gani wanatarajia kuzifanya katika future plan zao....achilia mbali wasanii wa muziki. Utawajua watangazaji wanaotamba, wacheza filamu na hata wale wenye majina hapa Town!

Anko Mo Blogspot itakukuletea Macelebritz wa Tanga City ili upate kuwajua na kusoma vijimambo vyao kupitia hapa. Kila kukicha Tanga imekuwa ikitoa macelebritz wanaotambulika Tanzania na dunia kwa ujumla.

Kaa Tayari!!!!







No comments:

Post a Comment