BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, January 22, 2010

"KWA AJILI YAKO" ALBAMU YA HUSSEIN MACHOZI INAYOFANYA VIZURI MTAANI

Machozi amesema albamu yake ni mfano wa kuigwa kwa sababu nyimbo zake zinagusa kila rika na zina ujumbe mbalimbali muhimu kwa jamii. Pia alisema ujumbe wake unagusa maisha ya kila siku ya jamii.

(Akiwa na Prof Jay, na Kassim) Msanii huyo mwenye sura yenye mvuto alisema, ameamua kutoa albamu hiyo mapema, kufuatia maombi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake waliopo katika nchi za Kenya, Uganda, Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Alivitaja vibao vilivyomo kwenye albamu hiyo kuwa ni ‘Yes we can’ alichomshirikisha msanii Bonta, ‘Utaipenda’ alichomshirikisha Joe Makini, ‘Kabla ya jua kuzama’ alichomshirikisha Mac d, ‘Niacheni niseme’ na ‘Full shangwe remix’ alichomshirikisha AY. Vingine ni ‘Kwa ajili yako’, ‘Za mwizi 40’, ‘Dont cry’, ‘Karibu narudi’ alichomshirikisha Farida na ‘My wife’.

PIGA NAMBA HII KUPATA ALBAMU YA HUSSEIN MACHOZI 0713 131073






No comments:

Post a Comment