BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, June 14, 2010

MAZOEZI YA MISS TANGA 2010 NI MOTO WA KUOTEA MBALI!!

Warembo wa Miss Tanga 2010 wakiwa kwenye mazoezi makali ya show pamoja na mwalimu wao Akida a.k.a Kijogoo kwenye ukumbi wa Splendid hapa jijini Tanga. Shindano la kumsaka mnyange wa Miss Tanga linatarajiwa kufanyika siku ya jumamosi ya tarehe 19 mwezi huu kwenye hoteli ya Tanga Beach Resort ikiwa imeandaliwa na 5 Brothers Entertainment.

Warembo wakiwa makini mazoezini.

Hao warembo wawili hapo mbele ni Miss Pangani 2010 Aziza Khalifa na mshindi wa pili wa kitongoji hicho Aisha Athumani wakiwa mazoezini. Miss Pangani 2010 iliandaliwa na Anko Mo Blogspot.

No comments:

Post a Comment