BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, June 18, 2010

MISS TANGA 2009 GLORY CHUWA KUKABIDHI TAJI KESHO!

Miss Tanga 2009 Glory Chuwa akiwa katika pozz pamoja na Rechal Mlaki namba mbili na Yasmini Zachari namba tatu. Glory anamaliza muda wake siku ya jumamosi ya tarehe 19/06/2010 ambayo ni kesho pale Tanga Beach Resort ambapo Miss Tanga 2010 anatarajiwa kupatikana.

Anko Mo Blogspot ilimtafuta Glory na kumuuliza jinsi anavyojisikia kuachia taji alilodumu nalo kwa mwaka mmoja. "Happy Because somebody else has to wear it and experience while working on it, sad because i just have to give it out" alisema glory ambaye kwa sasa yupo pale chuo mlimani jijini Dar es salaam akisomea Public Relations and Advertising.

"Unawaambiaje warembo watarajiwa wa Miss Tanga" lilikuwa swali jengine kwa Glory, "In my time we used to say BEAUTY WITH PURPOSE, the beauty thing goes with awareness (kujitambua who are you, what do U wish and what does the society want from U) Wajue sababu ya wao kushindana, and what the future holds, thats it!" alisema Glory ambaye wakati naongea nae alikuwa yupo safarini kuja Tanga kukabidhi taji.

No comments:

Post a Comment