BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, April 6, 2010

AKUDO ILIVYOWASHA MOTO JIJINI TANGA SIKU YA PASAKA

Wazee wa masauti Akudo Impact wakipiga show kunako ukumbi wa Mkwakwani VIP...katika shamra shamra za sikukuu ya Pasaka.

Mimi (Anko Mo) na Matonya

Wadau wa muziki wa dansi- huyo mwenye miwani ni Oscar Assenga ambaye ni mwandishi wa habari gazeti ya Bingwa pia ni mtangazaji wa Mwambao Fm Radio akiwa na Mkali Luppa pia ni mtangazaji wa Mwambao Fm.

Wadau wengine jijini Tanga. Jamaa wa pembeni kabisa ni Matonya, alikuja kula raha za nyumbani na wana wa Akudo.

NO BEEF!! Benson wa Breeze Fm Radio na Bra A wa Mwambao Fm Radio, waki'show love na Akudo Impact.

Mpiga gitaa wa Akudo akiwa kazini.

Huyu dada tulikuwa nae nyuma ya stage- mnenguaji wa Akudo! Ana kipaji cha pekee, anaimba ile mbaya!

Mkurugenzini wa 5 Brothers Entertainment Nassoro Makau alikuwepo.

Tonya akiwa makini wakati show ya Akudo inaendelea. Alikuwa aki'show love kwa watanga wote coz ni mtu wa watu.

Wapenzi wa Akudo wakifuatilia show.

Bella na waimbaji wengine wa Akudo jukwaani.

Wanenguaji wakiwa kazini.

Bella alifanya kazi ya zidia coz baadhi ya rapa wa bendi hiyo kuwa na matatizo. Bella aliimba na ku'rap!

Hapa kazi tu! Mpiga gitaa wa akiwa makini.

Allan Kabasele
Mpiga ngoma akionyesha tabasamu na kufurahia kazi yake. Tanga ilikuwa raha tupu siku ya Pasaka.

Nyuma ya stage- madada wa Akudo

Hakika Akudo Impact iliweza kukonga nyoyo za wapenzi wa muziki wa Dansi kutokea jijini Tanga.

No comments:

Post a Comment