BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, April 14, 2010

WASANII WA TANGA WANAWEZA- MANEKE!

Producer wa A.M Record Maneke alipokuwa akifanya Interview Breeze Fm Radio ya jijini Tanga kwenye kipindi cha Track To Track kinachorushwa na redio hiyo. Maneke amesema kuwa wasanii wa Tanga wana uwezo mkubwa wa kuimba na hivyo yupo tayari kufungua studio jijini humo na kufanya nao kazi.

Maneke na Dj Bob Nass
Aidha Producer huyo ambaye alishawahi kufanya kazi kunako studio za Mid Man Records, Dhahabu Records pamoja na Baucha Records ameongeza kuwa- pamoja na wasanii kuwa na uwezo mkubwa lakini wengi wao huangushwa na Ma'producer wanaofanya nao kazi.

Amir, Bob Nass na Maneke
Hata hivyo Maneke alisema wazi juu ya kumkubali Producer wa Huruma Record Andrew kutokana na kazi zake kuwa na kiwango cha ukweli. Amir ndio host wa kipindi cha Track To Track, wakati Bob Nass ndio Dj wa kipindi hiko.
Add Image

No comments:

Post a Comment