BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, April 6, 2010

PANGANI SASA KIMEELEWEKA! KIVUKO KIPYA HICHOOOOOO!

Hatimae kero ya muda mrefu ya wa'Tanga waishio wilaya ya Pangani imekwisha baada ya kivuko kipya cha Mv Pangani kuanza kufanya kazi rasmi siku ya leo (asubuhi).

Nahodha wa kivuko kipya cha Mv Pangani akiwa kazini wakati kivuko hicho kilipoanza kufanya kazi rasmi ya kubeba abiria.


Wananchi wa Pangani wakisubiria kushuka kwenye kivuku hicho ambapo kwa siku ya leo walipata bahati ya kupanda bure ikiwa kama 'karibu mgeni'

Wakiteremka taratibu.

Shukrani kwa serikali kwa kutambua kero ya wananchi wake. Usalama wa watu na mali zao sasa ni wa uhakika.

No comments:

Post a Comment