BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, April 29, 2010

MPIGIE KURA BWANA MISOSI!!!!

Onyesha uzalendo wako kama wewe unatokea Tanga. Mpigie kura Bwana Misosi kwenye Kili Music Award ili wimbo wake wa 'MUNGU YUPO BIZE' upate kuchukua Tuzo ya wimbo bora wa Ragga. Misosi anachuana vikali na Dully Sykes (Shikide) Ambaye hivi karibuni alitangaza kujitoa, Drezzy Chief (Wasanii) pamoja na Benjamin wa Mambo Jambo (Fly). KUMPIGIA KURA:-andika kilim56 kisha tuma kwenda namba 15723

Tayari amekwisha achia kazi yake mpya mwaka huu wa 2010 inatambulika kama "HUWEZIJUA"akimshirikisha mtu mzima kutoka Calif...JUA CALI...

No comments:

Post a Comment