BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, April 16, 2010

MIKE TEE AINGIA SOKONI TENA!



Unakumbuka ngoma kama Niacheni, Sintobadilika, Je Utaipenda, Nampenda, Kama na nyengine kali za Mike Mwakatundu aka Mike Tee a.k.a The last King From Nyaluland, sasa yupo jikoni (Studio) akipika album yake mpya baada ya kimya kirefu.

Msanii huyo ambaye kwa sasa anatamba na video ya wimbo wake mpya wa'I LOVE U' ambao mpaka sasa inaendelea ku-bang ile mbaya, amesema yupo ktk hatua za mwisho kurelease remix ya wimbo huo ambayo yenyewe itakuwa kwenye mahadhi ya Hiphop-Techno.

Hata hivyo Mike Tee hakusema album hiyo itamalizika lini. Amesisitiza wapenzi wake wawe tayari na ujio huo mpya.

No comments:

Post a Comment