BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, April 19, 2010

'MKIWA' NGOMA MPYA YA FADY DADY!

Msani kutokea Mkoani Tanga, Tanzania Fady Dady ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Mkiwa. Akizungumza na Blog hii muda mfupi kabla hajafanya mahojiano na kituo cha Radio Mwambao cha jijini Tanga, Fady Dady amesema kuwa wimbo huo umetengenezwa For Life Record ya Jijini Dar Es Salaam pale mitaa ya Kinondoni chini ya producer Kara Lee.

(Fady Dady na Mimi- Anko Mo)

Aidha msanii huyo ameileza Anko Mo Blogspot kuwa kwa sasa anaachia ngoma moja moja kutokana na kubanwa sana na masomo. Fady Dady yupo chuo kikuu cha Dar Es Salaam Mlimani akisimoea Political Science..hata hivyo Fady Dady amewahi kutamba na wimbo kama Moyoni Naumia pamoja na Asali Shubiri ambayo bado inafanya vizuri hadi sasa.

Fady Dady katika Pozz

No comments:

Post a Comment