BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, April 21, 2010

TANGA TOWN LEO ASUBUHI!!!!!!!!!!!

Siku hivi Tanga vibajaji vimekuwa ishu...hapa ni maeneo ya Mabanda ya Papa.

Hapa ni maeneo ya Sigara, karibu na Down Town Hotel pamoja na ofisi za Hot Net.

Hapa ni stendi kuu ya mabasi...ukifika Tanga kuna Garden nzuri katikati ya barabara ya Taifa.

Picha hii niliipiga wakati nipo kwa gari...hapa ni maeneo ya barabara ya 17.

Njia ya kuelekea Sahare..hapa ni eneo la Mapanda Ya Papa.

Hapa ni kituo cha daladala cha Bangi...pia wafanya biashara wadogo wadogo hujipatia riziki zao kama unavyoona kwenye picha.

No comments:

Post a Comment