BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, April 21, 2010

LEYLA TOTII 'NYOTA INAYOZIDI KUNG'AA JIJINI TANGA'

Mtangazaji wa redio Mwambao Fm ya hapa jijini Tanga Leyla Totii a.k.a Ngumi Jiwe akiwa katika pozz wakati kamera za Anko Mo zilipomnasa muda mfupi kabla hajaingia kwenye kipindi. Leyla anafanya kipindi cha Jipe Raha chenye kupiga muziki wa taraabu, kinachorushwa na redio hiyo.

Leyla Totii akiwa na msanii pekee kutokea jijini Tanga Matonya alipokuja kutembea nyumbani.

Hahahahaaa....ilikuwa ni kicheko tu- Hapa dada akiwa na Nassoro Makau ambaye ni mkurugenzi wa 5 Brothers Entertainment yenye kuandaa Miss Tanga.

No comments:

Post a Comment