BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, July 19, 2011

SERENGETI FIESTA 2011 INAKUJA TANGA JUMAPILI YA TAREHE 24/07/2011

Roma ni mmoja kati ya wasanii wa Hip Hop wanaotokea Tanga ambaye atakuwepo kwenye Fiesta kuuwakilisha mkoa wa wake. Kupitia Anko Mo BlogSpot utapata kuwajua wasanii wote watakaopanda kwenye Serengeti Fiesta 2011 kunako uwanja wa Mkwakwani. Tunaanza na wasanii wanaotokea Tanga.

Mwana Fa ambaye asili yake ni kule wilayani Muheza. Pia atakuwepo siku ya jumapili kwenye uwanja wa Mkwakwani na atapiga show mwanzo mwisho. Wasanii wengine watakaopanda siku hiyo utawapata kuwaona hivi punde. Endelea kutembelea Blog.

No comments:

Post a Comment