BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, July 20, 2011

HAWA NAO WATAKUWEPO KWENYE SERENGETI FIESTA 2011 PALE MKWAKWANI SIKU YA JUMAPILI

Msanii wa hip hop anafahamika kama Godzila, ni miongoni mwa wasanii watakaokuwepo siku ya jumapili ya tarehe 24 mwezi 7 pale Mkwakwani katika Serengeti Fiesta 2011.

Anaitwa Mataaluma wakazi wa Tanga wanaisubiri mama mubaya kwa hamu ndani ya Serengeti Fiesta 2011 Mkwakwani siku ya Jumapili.

Linex karibu sana Tanga.

Joh Makini atapiga show mwanzo mwisho.

Belle 9 kutoka Moro mpaka Tanga ndaani ya uwanja wa Mkwakwani siku ya Jumapili.

Bob Junior raisi wa Masharobaro kama kawa ndani ya Mkwakwani kwenye Fiesta.

Prof Jay. Msanii mkongwe kwenye Bongo Flava nae atakuwepo Tanga kwenye Serengeti Fiesta 2011 Mkwakwani.

Linah kutoka THT nae atakuwepo kuwakilisha Fiesta.

Ali Kiba pia atakuwepo kwenye Serengeti Fiesta 2011 kwenye uwanja wa Mkwakwani.

Anaitwa Top C ni msanii wa Bongo Flava anayefanya vizuri hivi sasa. Nae atakuwepo siku ya jumapili. Top C asili yake ni mkoani Tanga, hivyo wakazi wa Tanga kaeni tayari kumpokea.

No comments:

Post a Comment