BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Tuesday, February 23, 2010

HAPA NDIPO DULLY ATAKAPOPIGA SHOW IJUMAA (26/02/2010)

Sehemu ya juu Ibiza Night Club Cassino, club mpya ya kisasa iliyopo jijini Tanga.

Hii ndio Dancing Floor, pakiwashwa taa za club utapapenda!!

Upande mwengne wa Ibiza Night Club

Kwa juu, zaidi ya hizo feni unazoziona- pia kuna AC kila kona na nufanya ukumbi wote kuwe na kipupwe cha kutosha.

Duly Sykes atakuja kupiga show siku ya Ijumaa ya wiki hii, sambamba na Bab Lee. Kutoka Tanga watakuwepo Omega Boys, Untouchable, Dula wa Michano na wengine kibao. Kiingilio ni 3000/=..............wahi ticket call 0715000106



No comments:

Post a Comment