Meneja na mlezi wa kundi la TMK Wanaume Family Said Fella a.k.a Mkubwa Fella amesambaza maelezo na malengo yake kwa mwaka huu 2010 kwa kundi zima la watoto wa Kiumeni. Fella alisema kuwa malengo makubwa kwa mwaka huu kwenye briefcase yake ni kama ifuatavyo.“Kwanza kabisa nitahakikisha naitangaza na kuiuza album ya Saidi Juma a.k.a Chege album yake aliyoitoa siku za hivi karibuni ya karibu kiumeni, pia nitasimamia kama ilivyo kwa Chege album ya kundi ya Wanaume Kazini.
Fella ni mdau mkubwa wa muziki wa bongo fleva ndiye anayesimamia kazi zote za kundi la TMK Family.


No comments:
Post a Comment