BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, February 26, 2010

TAPA TAPA, SHIKIDE KUPIGWA LEO IBIZA NIGHT CLUB CASSINO

Dully Sykes akiwa na msanii mwengine kutokea Tanga Untouchable. Dully anatarajiwa kufanya show leo jijini Tanga kunako Ibiza Night Club Cassino, club mpya ya kisasa ambayo ipo maeneo ya Donge. Ngoma kama Tapa Tapa, Shikide na nyengine kali za msanii huyo utazisikia leo kwa kiingilio cha 3000/=

Hata hivyo Dully atasindikizwa na huyo mnayemuona hapo juu Untouchable ambaye hivi sasa anatamba na wimbo wake mpya 'BINADAMU' aliomshirikisha Kassim, umetengenezwa AM Record chini ya Producer Maneky. Wasanii wengine watakaokuwepo ni Bab Lee, Omega Boys pamoja na Dula wa Michano.

Anko Mo Blogspot itakuwepo pande hizo na itakuletea mpango mzima wa picha zote na VIJIMAMBO VYAKE

No comments:

Post a Comment