
Msanii Dully Sykes akiwa na msanii mwengine kutokea Tanga Untouchable ambaye nae atapanda jukwaani siku ya Ijumaa ya tarehe 26/02/2010 kwenye ukumbi wa Ibiza Night Club Cassino uliopo maeneo ya Donge.

Mshkaji anaitwa J Coplo, mmoja wa wanafamilia ya Omega Boys. Nae atakuwepo siku ya show- jukwaa moja na Dully Sykes

Bra A, Untouchable pamoja na Kochas- wote hawa watakuwepo siku ya show.
No comments:
Post a Comment