Rachel ambaye hivi sasa ni mwanafunzi wa chuo cha UDOM, yupo mkoani Kilimanjaro kwa kwa ajili ya kumalizia mazishi ya mama yake, ameonekana ni mtu mwenye majonzi kutokana na tukio hilo la msiba.
"Asante kaka, mama alitokewa na uvimbe kwenye mguu wakamwambia ni Cancer. Wajua hata siamini, leo ndio tumemzika na sijui hata nitaishijie. Nameomba Mungu aniongoze kwani kaniachia wadogo zangu wawiliniwatunze" alisema Rachel ambaye ni mdau mkubwa wa VIJIMAMBO VYA TANGA
Anko Mo Blogspot inakupa pole sana dada yetu mpendwa Rachel kwa msiba uliokukuta, mshukuru Mungu sana kwani msiba hauna mmoja kwani imandikwa kuwa kila nafsi itaonja umauti. Pigana kuhakikisha unatakeleza yale ambayo mama amekuachia.
No comments:
Post a Comment