
Kivuko kilichokuwa kinasubiriwa kwa hamu kutokea wilaya Pangani kinaendelea vizuri kutokana na kuwepo kwa majaribio ya hapa na pale. Kampuni ya Songoro Marine Transport Limited Boat Yard na M/S Johs Gralm Hossen A/S kutoka nchini Denmark, ndizo zinazosimamia ukarabati wa kivuko hicho.

Kilianza kutengenezwa May 10 mwaka 2009, na kimemalizika mwezi wa jana mwaka huu- kinatarajiwa kufunguliwa na mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete panapo majaaliwa mwezi wa tatu.

Hapa kikiwa kwenye majaribio mchana wa leo
No comments:
Post a Comment