BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, February 18, 2010

KIVUKO KIPYA CHA PANGANI!! MAMBO SAFI SASA

Kivuko kilichokuwa kinasubiriwa kwa hamu kutokea wilaya Pangani kinaendelea vizuri kutokana na kuwepo kwa majaribio ya hapa na pale. Kampuni ya Songoro Marine Transport Limited Boat Yard na M/S Johs Gralm Hossen A/S kutoka nchini Denmark, ndizo zinazosimamia ukarabati wa kivuko hicho.

Kilianza kutengenezwa May 10 mwaka 2009, na kimemalizika mwezi wa jana mwaka huu- kinatarajiwa kufunguliwa na mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete panapo majaaliwa mwezi wa tatu.

Hapa kikiwa kwenye majaribio mchana wa leo



No comments:

Post a Comment