BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, February 11, 2010

TAPA TAPA YA DULY SYKES LIVE JIJINI TANGA TAREHE 26/02/2010

Mkali wa Bongo Flava nchini Tanzania Dully Sykes ambaye anatarajiwa kupiga show jijini Tanga siku ya Ijumaa ya tarehe 26/02/2010 kwenye Club mpya ya Ibiza Carnivore iliyope maeneo ya Donge, amesema kuwa yupo tayari kukonga nyoyo za mashabiki wake.

Kwa mujibu wa mratibu wa onyesho hilo Ally Mohammed (Bra A) amesema kuwa, siku hiyo kutakuwa na wasanii kibao watakaopiga show wakiwemo Omega Boys, Dula Wa Michano, Bab Lee, Untouchable na wengine kibao. Hivyo anawataka mashabiki na wapenzi wa muziki waweze kufika kunako pande hizo. Kiingilio ni 3000/= tu.

Kwa upande mwengine Bra A amesema kuwa, Dully atapiga live ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Tapa Tapa.




No comments:

Post a Comment