BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, February 25, 2010

MITAA YA TANGA TOWN LEO ASUBUHI!

Hapa panaitwa Hostel, ni kituo maarufu sana! Mbele kuna garden ya Uhuru Park. Mara kwa mara watu huenda hapo kwa ajili ya mapumziko.

Hilo jengo linatazamana na viwanja vya Tangamano, viwanja ambavyo ni maarufu kwa soko huria na mikutano ya hadhara.

Hapa ni Majestic Sinema, jengo ambalo lilikuwa ni maarufu sana kwa kuonyesha movies hapo awali. Ila sasa sijui linatumiwa kwa shughuli gani..nisaidieni wadau!

Hii ni njia ya kuelekea Old Tanga Sec School, hili ni eneo la Hostel pia.




No comments:

Post a Comment