BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, February 26, 2010

MWEKASU HOSTEL- HOSTEL YA KISASA JIJINI TANGA!

Ni Hostel ya kisasa iliyopo mkoani Tanga, Tanzania maeneo ya Chumbageni karibu na Tanga Hotel kwenye jengo la CMC Automibile Limited ghorofa ya kwanza.


Imeanzishwa mwaka 2007 hivyo ina uzoefu wa kutosha na inapokea wageni 45 kwa pamoja. Pia inatoa huduma ya chakula na vinywaji. Mwekasu pia inatoa huduma ya Chakula na vinywaji kwenye sherehe kama Harusi, Birthday, Semina, na shughuli nyingine za kimaendeleo. Tuna ukumbi wenye kupokea watu 35 kwa shughuli za mikutano, vikao vya harusi semina na shughuli za maendeleo.

Hii ni sehemu ya sebule kwa wateja wote.

Mwekasu Hostel pia inahamasisha watu kutembelea vivutio mbalimbali vya kitalii vinavyopatikana mkoani Tanga kama Mapango Ya Amboni, Amani Natural Reserve, Magofu Ya Tongoni, Hot Spring (Chemchem Ya Maji Moto), Mkomazi National Park, Saadani National Park, pamoja na Tanzania kwa ujumla.

Sebule kwa upande wa pili. Na upande wa kupatia chakula

Pia kuna vitanda Double kwa wale watakaofika kwa familia ama group. Kwa mawasiliano zaidi:

* +255713400730

* +255786730400

* +255718400203

* +255719000010



No comments:

Post a Comment