BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, March 26, 2010

MAJINA YA WANAOWANIA TUZO ZA KILI

Wanaowania tuzo ya Mwimbaji bora wa kike.

Lady Jaydee
Mwasiti Almasi
Maunda Zorro
Vumilia Mwaipopo
Khadija Yusuph

wanaowania tunzo ya Mwimbaji bora wa kiume.
Marlow
Banana Zorro
Mzee Yusuph
Alikiba
Christian Bella

Wanaowania Albamu Bora ya Taarab

Jahazi Modern Taarab (Daktari wa Mapenzi),
5 Stars Modern Taarab (Riziki Mwanzo wa Chuki),
Coast Modern Taarab (Kukupenda Isiwe Tabu),
New Zanzibar Star (Powa Mpenzi)
East African Melody (Kila Mtu Kivyakevyake).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Taarab inawaniwa na

Daktari wa Mapenzi’ na ‘Roho Mbaya Haijengi’ (zote Jahazi Modern Taarab), ‘Wapambe Msitujadili’, ‘Riziki Mwanzo wa Chuki’ (zote 5 Stars Modern Taarab) na ‘Kukupenda Isiwe Tabu’ (Coast Modern Taarab).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Mwaka inawaniwa na

Marlow ‘Pii Pii-Missing my Baby
Diamond (Kamwambie)
Banana Zorro (Zoba)
Hussein Machozi (Kwa Ajili Yako).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Kiswahili kwa upande wa bendi ni

Machozi Band (Nilizama),
African Stars Band-Twanga Pepeta (Mwana Dar es Salaam),
Top Band (Asha),
FM Academia (Vuta Nikuvute)
Extra Bongo (Mjini Mipango).

Tunzo ya Albamu Bora ya Bendi inawaniwa na

African Stars Band ‘Twanga Pepeta’ (Mwana Dar es Salaam),
Kalunde Band (Hilda)
Msondo Ngoma Music Band (Huna Shukrani).

Kwa upande wa Tunzo ya Wimbo Bora wa R&B, wanaoiwania ni

Belle 9 ‘Masogange’,
Diamond (Kamwambie),
AT na Stara Thomas (Nipigie),
Maunda Zorro (Mapenzi ya Wawili)
Steve (Sogea Karibu).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Asili ya Kitanzania unawaniwa na

Mrisho Mpoto (Nikipata Nauli),
Machozi Band (Mtarimbo),
Offside Trick (Samaki),
Wahapahapa Band (Chei Chei)
Omari Omari (Kupata Majaaliwa).

Wanaowania Tunzo ya Wimbo Bora wa Hip Hop ni

Joh Makini (Stimu Zimelipiwa),
Quick Racka (Bullet),
Chid Benzi (Pom Pom Pisha),
Mangwea (CNN) na Fid Q (Iam a Professional).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Reggae inawaniwa na

Hemedi (Alcohol),
Dabo Ft. Mwasiti (Don’t Let Go),
Man Snepa (Barua)
Matonya Ft. Christian Bella (Umoja ni Nguvu).

Kwa upande wa Tunzo ya Wimbo Bora wa Ragga, wanaoiwania ni

Dully Sykes (Shikide),
Bwana Misosi (Mungu yuko Bize),
Drezzy Chief (Wasanii)
Benjamin wa Mambo Jambo (Fly)

Tunzo ya Rappa Bora wa Mwaka inawaniwa na

Chokoraa,
Ferguson,
Kitokololo,
Totoo ze Bingwa
Diouf.

Tunzo ya Msanii Bora wa Hip Hop ni
Joh Makini
Fid Q
Chid Benz
Mangwea
Profesa Jay.

Tunzo ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki inawaniwa na

Blue 3 Ft. Radio and Weasal -Good Life ‘Where you are’,
Kidumu Ft. Juliana (Haturudi Nyuma),
Cindy (Na Wewe),
Radio and Weasal - Good Life (Bread and Butter)
Kidumu akitupa karata na wimbo ‘Umenikosea’.

Tunzo ya Mtunzi Bora wa Nyimbo ni

Mzee Yusuph
Mrisho Mpoto
Lady Laydee
Banana Zorro
Mzee Abuu, Fid Q

Tunzo ya Watayarishaji Bora wa Muziki
Lamar
Marco Chali
Hermy B
Allan Mapig0
Man Water

Video Bora ya Muziki wa Mwaka inawaniwa na

Lady Jaydee (Natamani kuwa Malaika)
Diamond (Kamwambie),
AY (Leo)
Banana Zorro (Zoba)
C Pwaa (Problem).

Tunzo ya Wimbo Bora wa Afro Pop inawaniwa na

Banana Zorro (Zoba)
Alikiba (Msiniseme)
Marlow (Pii Pii Missing My Baby)
Mataluma (Mama Mubaya)
Chegge (Karibuni Kiumeni)

Tunzo ya Msanii Bora Anayechipukia

Belle 9
Diamond
Barnaba
Quick Racka
Amini

Tunzo ya Wimbo Bora wa Kushirikiana inawaniwa na

AT - Stara Thomas (Nipigie)
Mangwea Ft. Fid Q (CNN)
Barnabas Ft. Pipi (Njia Panda)
Mwana FA Ft. Profesa Jay na Sugu (Nazeeka Sasa)
Hussein Machozi Ft. Joh Makini (Utaipenda).

No comments:

Post a Comment