Friday, February 26, 2010
MWEKASU HOSTEL- HOSTEL YA KISASA JIJINI TANGA!
Mwekasu Hostel pia inahamasisha watu kutembelea vivutio mbalimbali vya kitalii vinavyopatikana mkoani Tanga kama Mapango Ya Amboni, Amani Natural Reserve, Magofu Ya Tongoni, Hot Spring (Chemchem Ya Maji Moto), Mkomazi National Park, Saadani National Park, pamoja na Tanzania kwa ujumla.
* +255713400730
* +255786730400
* +255718400203
* +255719000010
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
TAPA TAPA, SHIKIDE KUPIGWA LEO IBIZA NIGHT CLUB CASSINO
Hata hivyo Dully atasindikizwa na huyo mnayemuona hapo juu Untouchable ambaye hivi sasa anatamba na wimbo wake mpya 'BINADAMU' aliomshirikisha Kassim, umetengenezwa AM Record chini ya Producer Maneky. Wasanii wengine watakaokuwepo ni Bab Lee, Omega Boys pamoja na Dula wa Michano.Anko Mo Blogspot itakuwepo pande hizo na itakuletea mpango mzima wa picha zote na VIJIMAMBO VYAKE
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Thursday, February 25, 2010
MITAA YA TANGA TOWN LEO ASUBUHI!
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Wednesday, February 24, 2010
OMEGA BOYS KAMA KAWA SIKU YA IJUMAA IBIZA NIGHT CLUB CASSINO
Baadhi ya wasanii wa kundi la Omega Boys la hapa jijini Tanga, ambalo siku ya Ijumaa litapiga show wakiwa pamoja na Dully Sykes na Bab Lee kunako Ibiza Night Club Cassino. Kiingilio ni 3000/=.....huyo wa kati ni Kochas, aliyevaa suruali nyeupe ni Dulla Wa Michano pamoja na Dj wa Breeze Fm Radio Dj Bob Nass, hao wengine ni fans!
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Tuesday, February 23, 2010
'SITAKI TENA LAWAMA, NIMEPATA MCHUMBA'- HEMED
Akichonga na hivi karibuni ambaye kwasasa amejikita zaidi kwenye mambo ya filamu amesema amepokea lawama nyingi na kesi kibao kuhusu kutembea na wake za watu lakini sasa ndio utakuwa mwisho.
“Nimeshapata mchumba na soon nitamweka wazi kila mtu amjuwe, hizi kesi zisizoisha sizitaki tena, lawama mtaani ya kuwa natembea sijui na demu wa fulani au mke wa mtu nimechoka nazo, sana sana zinaniharibia sifa yangu tu kila kukicha” alisema Hemed.Hemed ambaye alikuwa mmoja wa wakilishi kwenye lile shindano la kuibua vipaji la Afrika Mashariki maarufu kama Tusker Project Fame aliingia kwenye masuala ya mziki mwaka jana na kufanikiwa kutoa baadhi ya nyimbo ambazo zilitingisha kama NINACHOTAKA na ULISEMA, yuko chini ya kituo cha kukuza vipaji cha THT.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
HAPA NDIPO DULLY ATAKAPOPIGA SHOW IJUMAA (26/02/2010)
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Monday, February 22, 2010
Saturday, February 20, 2010
Friday, February 19, 2010
'SIMUOGIPI MTU KWENYE GAME YA MUZIKI'- RAY C
Mwanadada wa siku nyingi kwenye game la muziki wa kibongo Rehema Chalamalia a.k.a Ray C ameibuka na kusema hata waje wasanii wangapi wa kike lakini anaamini hakuna kama yeye kamwe na hakuna atakayekuja kuyafikia mafanikio yake.Ray C au kama anavyojulikana kwa jina lingine kiuno bila mfupa aliyasema hayo baada ya siku za karibuni kuibuka wasanii wengi wa kike na kila mmoja kujitamba kwamba yeye ni zaidi ya wengine wote.
Ray C akiongea kwa hasira alizidi kusema “Lakini mimi hakuna demu wa kunitisha hapa Bongo si kwenye muziki sehemu yoyote ile, mi muziki nimefanya kipindi kirefu sana na mpaka sasa hakuna anayeweza kujifananisha na mimi, hakuna ambaye ameweza kufikia kiwango changu bado nipo mbali sana ndio maana napata shoo nyingi hata nisipotoa kazi mpya, nyimbo zangu hazichuji ukisikiliza ‘Na Wewe Milele’ sasa hivi hapo ulipo lazima usisimke lakini ni ya miaka mingi.” alimaliza Ray CTazama hapo pembeni/kulia kwako upige kura nani mkali wa bongo flava kwa madadaa
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
ROGGER ARUDI NA TASWIRA MPYA YA MUZIKI!
Mwanamuziki wa Bongo fleva aliyekuwa miongoni mwa waliofanya vizuri shindano la Bongo Star Search (BSS) ya 2008, Rogger Lucas, ambaye alikuwa kimya kwa muda mrefu ,amerudi na kitu kipya chenye sura tofauti na tuliyoizoea.Tulizoea kumuona akiimba peke yake au akishirikiana na msanii mwingine (featuring) ila kwa sasa ameibuka na kikundi chake kipya kiitwacho MOTHERLAND. Bendi hii imesukwa nchini uholanzi chini ya udhamini wa bendi iitwayo ROOTS RIDERS yenye maskani yake huko huko Uholanzi lengo likiwa kuwasaidia wasanii kutoka Afrika katika fani ya Muziki.
Kwa habari zaidi bofya hapa
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
UBABAISHAJI KILI MUSIC AWARD SASA BASI TENA!

Baada ya kilio cha wasanii cha muda mrefu..wengi wao wakilalamika kuwa tuzo za Kili Music Awards zimekuwa zikiendeshwa kienyeji,hatimaye kilio chao kimesika kwa waandaji wa tuzo hizo kufanya maboresho makubwa.
Meneja uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe, ametangaza njia ambazo wameamua kuzitumia ili kuboresha tuzo za Kilimanjaro kwa mwaka huu ili kuondoa wingi wa malalamiko yanayokuwa yakizikumba kila mwaka.
Akizitaja njia hizo, Meneja huyo alisema kuwa nyingi ni zile ambazo wamekuwa wakikosolewa na baadhi ya wadau wengi wa muziki wa hapa nchini.
Kavishe alizitaja njia hizo kuwa ni pamoja na kuboresha namna ya kumpata mshindi, mipango endelevu ya uboreshaji, utaratibu wa upigaji kura, kuwahoji wasanii 20 waliochaguliwa, kupata maoni katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mbeya, Dodoma na Mwanza.
Njia zitakazotumika ni watu kupiga kura kwa njia ya kutumia meseji (SMS), mtandao na magazeti, watatumia kampuni ya Deloutte ambayo imekuwa na uzoefu wa kuhakiki na kusimamia upigaji wa kura na wameekuwa wakifanya shughuli hizo katika tuzo za nchini Kenya za Kisima na zile za Grammy za nchini Marekani.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
YALIYOJIRI SAUTI ZA BUSARA HUKO ZANZIBAR!
Chid Benz kutoka Tanzania akiwa akilishambulia jukwaa kwenye Sauti za Busara huko Zanzibar.
Thandiswa Mazwai kutokea Afrika Kusini akionyesha miondoko ya kwaito ngome kongwe huko mjini Zanzibar
Mim Suleiman kutokea Zanzibar, akionyesha mambo ya pwani.
Dwada Jobarteh kutokea Gambia akionyesha umahiri wake jukwaani.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Thursday, February 18, 2010
KIVUKO KIPYA CHA PANGANI!! MAMBO SAFI SASA
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
MENEJA WA TIP TOP ORGANIZATION 'BABU TALE'
Leo nimetumiwa wimbo mpya wa "IT'S ALL ABOUT MADEE" na meneja wa kundi la Tip Top Organization Hamisi Tale a.k.a Babu Tale. Meneja huyo amesema kuwa wimbo huo utabamba kutokana na mashairi pamoja na mindundo yake kuwa katika kiwango cha juu.It's all about madee umetengenezwa kunako studio za Mj Record prodyuza akiwa Makochali. Ngwear ni msanii aliyepewa shavu kwenye songi hilo.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Wednesday, February 17, 2010
AMANI NATURE RESERVE- MOST BEAUTIFUL PLACE IN TANGA, TANZANIA
Amani Forest Nature Reserve, Located about 45 kilometers from Tanga Town, it is one of the most beautiful places in Tanga, Tanzania. Its one of the latest Nature Reserve established by the government to protect flora and fauna of east Usambara. It harbors some of the animals only seen in Usambara such as Nduk eagle owl and most endemic plants. It was first established in 1902 as an agriculture research station by the Germans, and was turned into a nature reserve in 1997.
Amani Botanical gardens, the second largest botanical garden in the world lies in this reserve. Today the area continues to play a significant part in medical research hosting the Amani Medical Research Centre. The Nature Reserve has now been turned into an eco tourism attraction with greater emphasis on walking and hiking.Walking and hiking through the forestry is the main attraction. Well-established walking routes are present. While walking you have an opportunity to see black and white colobus, blue monkey, and the nature's main attraction, Nduk eagle owl, a specie found only in Amani.
You will also see nine species of African violet garden flowers and colorful butterflies some of them found only in Usambara. Other birds include green headed oriole, Amani sunbirds, Uluguru violet backed, forest warbler. To sum up the area has wonderful birds, butterflies, animals and plants some of them found only in this area.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
WAJUA CELEBRITZ WA TANGA CITY!!
Mshkaji anaitwa Roma, ni msanii wa bongo flava anayetokea Tanga City. Unakumbuka wimbo wa TANZANIA..? sasa hivi ana ngoma yake mpya inaitwa MR. PRESIDENT
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Tuesday, February 16, 2010
Monday, February 15, 2010
HAWA WOTE NDANI YA IBIZA NIGHT CLUB CASSINO JIJINI TANGA
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Sunday, February 14, 2010
Subscribe to:
Comments (Atom)




