Friday, February 26, 2010
MWEKASU HOSTEL- HOSTEL YA KISASA JIJINI TANGA!
Mwekasu Hostel pia inahamasisha watu kutembelea vivutio mbalimbali vya kitalii vinavyopatikana mkoani Tanga kama Mapango Ya Amboni, Amani Natural Reserve, Magofu Ya Tongoni, Hot Spring (Chemchem Ya Maji Moto), Mkomazi National Park, Saadani National Park, pamoja na Tanzania kwa ujumla.
* +255713400730
* +255786730400
* +255718400203
* +255719000010
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
TAPA TAPA, SHIKIDE KUPIGWA LEO IBIZA NIGHT CLUB CASSINO

Anko Mo Blogspot itakuwepo pande hizo na itakuletea mpango mzima wa picha zote na VIJIMAMBO VYAKE
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Thursday, February 25, 2010
MITAA YA TANGA TOWN LEO ASUBUHI!
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Wednesday, February 24, 2010
OMEGA BOYS KAMA KAWA SIKU YA IJUMAA IBIZA NIGHT CLUB CASSINO

Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Tuesday, February 23, 2010
'SITAKI TENA LAWAMA, NIMEPATA MCHUMBA'- HEMED
Akichonga na hivi karibuni ambaye kwasasa amejikita zaidi kwenye mambo ya filamu amesema amepokea lawama nyingi na kesi kibao kuhusu kutembea na wake za watu lakini sasa ndio utakuwa mwisho.

Hemed ambaye alikuwa mmoja wa wakilishi kwenye lile shindano la kuibua vipaji la Afrika Mashariki maarufu kama Tusker Project Fame aliingia kwenye masuala ya mziki mwaka jana na kufanikiwa kutoa baadhi ya nyimbo ambazo zilitingisha kama NINACHOTAKA na ULISEMA, yuko chini ya kituo cha kukuza vipaji cha THT.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
HAPA NDIPO DULLY ATAKAPOPIGA SHOW IJUMAA (26/02/2010)
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Monday, February 22, 2010
Saturday, February 20, 2010
Friday, February 19, 2010
'SIMUOGIPI MTU KWENYE GAME YA MUZIKI'- RAY C

Ray C au kama anavyojulikana kwa jina lingine kiuno bila mfupa aliyasema hayo baada ya siku za karibuni kuibuka wasanii wengi wa kike na kila mmoja kujitamba kwamba yeye ni zaidi ya wengine wote.

Tazama hapo pembeni/kulia kwako upige kura nani mkali wa bongo flava kwa madadaa
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
ROGGER ARUDI NA TASWIRA MPYA YA MUZIKI!

Tulizoea kumuona akiimba peke yake au akishirikiana na msanii mwingine (featuring) ila kwa sasa ameibuka na kikundi chake kipya kiitwacho MOTHERLAND. Bendi hii imesukwa nchini uholanzi chini ya udhamini wa bendi iitwayo ROOTS RIDERS yenye maskani yake huko huko Uholanzi lengo likiwa kuwasaidia wasanii kutoka Afrika katika fani ya Muziki.
Kwa habari zaidi bofya hapa
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
UBABAISHAJI KILI MUSIC AWARD SASA BASI TENA!

Baada ya kilio cha wasanii cha muda mrefu..wengi wao wakilalamika kuwa tuzo za Kili Music Awards zimekuwa zikiendeshwa kienyeji,hatimaye kilio chao kimesika kwa waandaji wa tuzo hizo kufanya maboresho makubwa.
Meneja uzalishaji wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe, ametangaza njia ambazo wameamua kuzitumia ili kuboresha tuzo za Kilimanjaro kwa mwaka huu ili kuondoa wingi wa malalamiko yanayokuwa yakizikumba kila mwaka.
Akizitaja njia hizo, Meneja huyo alisema kuwa nyingi ni zile ambazo wamekuwa wakikosolewa na baadhi ya wadau wengi wa muziki wa hapa nchini.
Kavishe alizitaja njia hizo kuwa ni pamoja na kuboresha namna ya kumpata mshindi, mipango endelevu ya uboreshaji, utaratibu wa upigaji kura, kuwahoji wasanii 20 waliochaguliwa, kupata maoni katika mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mbeya, Dodoma na Mwanza.
Njia zitakazotumika ni watu kupiga kura kwa njia ya kutumia meseji (SMS), mtandao na magazeti, watatumia kampuni ya Deloutte ambayo imekuwa na uzoefu wa kuhakiki na kusimamia upigaji wa kura na wameekuwa wakifanya shughuli hizo katika tuzo za nchini Kenya za Kisima na zile za Grammy za nchini Marekani.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
YALIYOJIRI SAUTI ZA BUSARA HUKO ZANZIBAR!




Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Thursday, February 18, 2010
KIVUKO KIPYA CHA PANGANI!! MAMBO SAFI SASA
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
MENEJA WA TIP TOP ORGANIZATION 'BABU TALE'

It's all about madee umetengenezwa kunako studio za Mj Record prodyuza akiwa Makochali. Ngwear ni msanii aliyepewa shavu kwenye songi hilo.
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Wednesday, February 17, 2010
AMANI NATURE RESERVE- MOST BEAUTIFUL PLACE IN TANGA, TANZANIA

It harbors some of the animals only seen in Usambara such as Nduk eagle owl and most endemic plants. It was first established in 1902 as an agriculture research station by the Germans, and was turned into a nature reserve in 1997.

Walking and hiking through the forestry is the main attraction. Well-established walking routes are present. While walking you have an opportunity to see black and white colobus, blue monkey, and the nature's main attraction, Nduk eagle owl, a specie found only in Amani.

Labels:
Mwandishi: ANKO MO
WAJUA CELEBRITZ WA TANGA CITY!!

Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Tuesday, February 16, 2010
Monday, February 15, 2010
HAWA WOTE NDANI YA IBIZA NIGHT CLUB CASSINO JIJINI TANGA
Labels:
Mwandishi: ANKO MO
Sunday, February 14, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)