BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, November 29, 2010

BELLE 9 ALIVYOWASHA MOTO JIJINI TANGA!!

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Belle 9 akiwarusha wakazi wa jiji la Tanga siku ya ijumaa wakati msanii huyo alipofanya show yake kunako La Club Lacasa Chica.......hata hivyo show hiyo pia ilipewa baraka na msanii mwengine ambaye hakuwa kwenye ratiba hiyo kiasi cha kufanya watu kupiga shangwe za kutosha punde alipoitwa juu ya steji kusalimia- namzungumzia Tunda Man wa Tip Top Connection. Ilikuwa poa sana pia alipopanda Man Sasha kutoka Tanga Town.

Kutunza ilikuwa inaruhusiwa...Belle 9 aliweza kukonga nyoyo za mashabiki wake ipasavyo,

Belle 9 akipiga show mbele ya mashabiki.

Dj D Whte ndio alikuwa akiongoza show ya Belle 9

Amir kutoka Breeze Fm Radio ndio aliokuwa msema chochote.......hapa wakati anafungua show.

Belle 9 akiwa na Dj wa Breeze Fm ya jijini Tanga Dj Bob Nass wakati alipofika kwenye redio hiyo kwa ajili ya kufanya interview.

Belle 9 ndani ya Breeze Fm Radio akifanya mahojiano

No comments:

Post a Comment