BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, November 22, 2010

'DESEMBA 26' NI HADITHI YA KUSISIMUA

Unapenda hadithi za kusisimua zinazofanya ujisikie furaha pindi unaposoma...!!?? Leo gazeti la HABARI LEO limetoa hadithi yangu ya DESEMBA 26, ni hadithi nzuri ya kusisimua ambayo kwa hakika hutasita kuacha kuisoma pindi utakapoanza na sentinsi ya kwanza. Tafuta gazeti hili la leo na hata kesho....uendelee kunifuatilia katika simulizi hii.

No comments:

Post a Comment