BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, August 26, 2010

BREAKING NEWS!!!!!!......WAHAMIAJI HARAMU WAKAMATWA TANGA!

Wahamiaji haramu kutokea nchi za Ethiopia na Somalia wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi katika kituo kikuu cha wilayani Pangani, punde baada ya kukamatwa. Kulia ni mkuu wa kituo cha Polisi wilayani Pangani A.S.P Ally Mkalipa.

Wahamiaji hawa alikamatwa kijiji cha Sange, Mkoani hapa baada ya wananchi kutoa taarifa polisi muda mfupi waliposhuka kutoka kwenye jahazi.

No comments:

Post a Comment