BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, August 30, 2010

MAKORORA HIYO MZEE!!!

Kanisa maarufu mitaa ya Makorora kwa mbali katika picha huku daladala ya Donge ikipita...barabara hii hupitiwa na daladala zinazofanya safiri za Donge na Sahare. Hapa ni mitaa ya Makorora Tanga.

Njia panda ya kupita daladala za Donge na Sahare.

Msikiti pekee ulipo barabarani eneo la Makorora.

Hapa ni sokoni..hata hivyo kuna shughuli nyengine ambapo wakazi wa Makorora hujipatia mahitaji yao ya kila siku.

Upande mwengine wa eneo la Makorora.

Hapa Ni Tamta Charitable Dispensary..

Makorora pia ni maarufu sana kwa uuzaji wa ndizi.

Soko la Makorora



No comments:

Post a Comment