BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, August 27, 2010

VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA NA KUTOA MSAADA TANGA!

Wawakilishi wa kampuni ya simu za mkononi nchini Tanzania Vodacom Foundation wakiwa tayari kutoa msaada kwa watoto waishio hapa mkoani Tanga, Pangani kutokea kijiji cha Mwera. Pamoja na kutoa misaada hiyo kampuni ya Vodacom pia iliweza kufuturisha kwenye uwanja Uhuru uliopo pembezeno kabisa na mto Pangani

Mtoto Mohammed Mtoo Ally akipokea msadaa wa Madaftari kutoka kwa mmoja wa mwakilishi wa kampuni ya Vodacom Foundation.

Nae mtoto Bwanga Abdalah akipokea msaada wa Sukari kutoka kwa wawakilishi wa Vodacom waliofika mjini Pangani jana usiku kwa ajili ya kuiwakilisha kampuni yao.

Hawa ni vijana wa Tanesco.....walikuwepo kwa kazi moja tu- pindi umeme ungeleta tafrani basi wangeweka mambo sawa.

VIJIMAMBO VYA TANGA na FULL SHANGWE uso kwa uso....Mimi (Anko Mo) na John Bukuku ambaye pia ni blogger wa full shangwe.

Mashekhe wakifanya utaratibu wa kugawa chakula (Futari) kwa wananchi waliohudhuria uwanja wa Uhuru.

Baada ya kazi ya ugawaji chakula kumalizika, watu ilibidi wakunje goti.

Bismilah!!! futari ilianza kuliwa.

Vijana wakichangamkia futari iliyoandaliwa na Vodacom Foundation.

No comments:

Post a Comment