BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, August 23, 2010

KIVUKO CHA MV PANGANI LEO MCHANA!!

Nahodha wa kivuko cha Mv Pangani akiwa mzigoni leo mchana wakati kivuko hiko kikitoa huduma kwa wananchi wa Pangani.

Kwa mbali kivuko kikijongea upande wa pili wa Pangani kutokea Bweni

Wananchi wakijitaarisha kushuka.

Wakazi wa Pangani wakiteremka kutoka kwenye kivuko hiko kipya cha kisasa zaidi cha Mv Pangani



No comments:

Post a Comment