BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Monday, October 25, 2010

BREAKING NEWS!!!!!!.....MWAMBAO FM YAHAMISHIWA KANGE!!




Kituo cha redio cha Mwambao Fm kinachorusha matangazo yake kutokea mkoani Tanga, Tanzania kwa masafa ya ya 106.0 kimehamishiwa Kange. Kituo hiko ambacho hapo awali kilikuwa jengo la Bandari House, kimehamishiwa eneo la Kange sambamba na kampuni ya maziwa ya Tanga Fresh. Pichani mtangazaji mahiri wa kituo hiko Ahmed Khatibu maarufu kama Wawoo akiwa katika kipindi wakati Blog hii ilipotembelea redio hiyo.

Ahmed Khatibu akiendesha kipindi cha Arabian Flava.

Wakati nafika jamaa ndio alitoka nje na kunipokea.

Hili ndilo jengo ambalo redio Mwambao Fm linarusha matangazo yake kutokea hapo.

Hapa wakati naelekea kwenye jengo la Mwambao Fm....jengo linaloonekana pichani la kampuni ya Tanga Fresh.

Kwa mbali jengo la Tanga Fresh.

Milinzi akitufungulia mlango kuingia ndani.

Lango kuu la kuingilia Tanga Fresh, ambamo linapatikana jengo jengine la redio Mwambao Fm ya jijini Tanga.

1 comment:

  1. mbona FABIAN kahama mjengoni kunani au mkwanja wenu wa kitoto by MRUNDI from barabara ya 12 kwa msomali

    ReplyDelete