BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, October 21, 2010

MUHEZA LEO ASUBUHI!!!

Njia ya kuelekea Amani Natural Reserve.

Karibu na stendi, eneo la kutokea magari yote ya kuelekea mikoani. Hapa kuna matunda mengi sana.

Mlango wa kutokea.....wachuuzi wa matunda na vipuri mbalimbali huuza kupitisa madirshani.

Mchuuzi wa urembo akipitisha bidhaa zake dirishani mwa moja ya magari ya kuelekea mikoani.

Magazeti pia hupatikana eneo hili la kutokea.

Hatua chache kutoka Muheza, mkonge hutawala. Tanga inasifika pia kwa zao la Mkonge.

No comments:

Post a Comment