BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, October 27, 2010

MATONYA AIPAGAWISHA LONDON!!!

Msani wa Bongo Flava kutokea Tanga, Tanzania Seif Shaban a.k.a Matonya hivi karibuni aliwapagawisha wakazi wa jiji la London nchini Uingereza kwa kupiga bonge la Show sambamba na msanii mwengine kutoka Kenya Nonini.

Wasanii hao wanatarajiwa kupiga show zao za mwisho siku ya Ijumaa kunako mji wa Manchester na Luton siku ya Jumamosi.

Big Up Tonya Time!!!

No comments:

Post a Comment