BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Thursday, October 14, 2010

WANAOVUMA KUTOKA TANGA! SWAHIBA WAKO....ANTONIO NUGAS

Kijana machachari anapokamata microphone, hasa anapokuwa redioni ama kwenye television. Anaitwa Antonio Nugas a.k.a Swahiba, anatokea jijini Tanga lakini kwa sasa yupo CLOUDS MEDIA GROUP kupitia Clouds Tv kama mtangazaji wa kipindi cha Kambi Popote ambacho hurushwa kila siku ya Jumatano. Tanga imekuwa ikitoa vijana wenye vipaji kila kukicha.

Nugas akiwa ndani ya studio za Clouds Radio kabla hajahamia Clouds Tv.

Hapa ni Lushoto mkoani Tanga katika harakati zake za kuandaa kipindi chake cha Kambi Popote.

Antonio Nugas akiwa na wasanii wa muziki wa Bongo Flava....wa katikati ni Hemed, pamoja na Kassim.

No comments:

Post a Comment