BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Saturday, October 30, 2010

CUF YAKAMILISHA KAMPENI ZAO LEO MJINI PANGANI!

Jioni ya leo katika pita pita zangu nilikutana na chama cha wananchi (CUF) wakimalizia kampeni zao kwa amani hapa mjini Pangani. CUF wamemsimamisha Ally Omary Mohammed katika nafasi ya Ubunge.

Baadhi ya wanachama wa chama hiko, tawi la Chake Chake wakielekea kwenye mkutano jioni ya leo.

No comments:

Post a Comment